News and Events Change View → Listing

Ambassador Mwadini addresses the plenary of the UNESCO Executive Board

Ambassador Mwadini addresses the plenary of the UNESCO Executive Board during its on-going 221st session at the UNESCO Headquarters on 7th April 2025. Among other things, His Excellency stressed on the…

Read More

Balozi Mwadini akutana na Wanafuzi wanaosoma Vyuo Vikuu vya Sayansi nchini Ufaransa

Mheshimwa Balozi Mwadini Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa amekutana na Wanafunzi wanaosoma katika Vyuo Vikuu vya Sayansi ya Siasa (Sciences Po - Reims) na Ecole Normale Supérieure (ENS). Pamoja na mambo…

Read More

Balozi Mwadini wasilisha Hati za Utambulisho kwa Waziri wa mambo ya Nje wa Morocco

Balozi Mwadini awawasilisha nakala za hati za utambulisho kwa Mhe. Nasser Bourita, Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika na Raia wa Morocco waishio Nje ya Nchi. Mhe. Balozi Mwadini na Mhe. Bourita…

Read More

Balozi Mwadin akutana na Mwakilishi wa UNESCO wa Visiwa vya St. Kitts and Nevis (SKN) nchini Ufaransa

Balozi Mwadin  alipokutana na Mhe. David Doyle, Balozi wa Visiwa vya St. Kitts and Nevis (SKN) nchini Ufaransa na pia Mwakilishi wa Kudumu wa visiwa hivyo kwenye UNESCO.Kwa pamoja walizungumzia masuala…

Read More

Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum alishirki maonesho ya Kamisheni ya Utalii ya Zanzibar jijini Paris

Ubalozi wa Tanzania Paris kwa kushirkiana na Kamisheni ya Utalii ya Zanzibar (ZCT), wamefanikisha ushiriki wa makampuni 15 ya wadau wa utalii kutoka Bara na Zanzibar kwenye maonesho makubwa zaidi ya utalii…

Read More

Timu ya Serengeti Girls (U-17) yatwaa kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchi za Afrika Kaskazini

Timu ya Serengeti Girls (U-17) imetwaa kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchi za Afrika Kaskazini leo kufuatia kutoka sare ya 0-0 na wenyeji Tunisia. Timu hiyo iliyong’ara sana na kuwa gumzo mjini…

Read More

Mheshimiwa Balozi Mwadini atembelea Shule ya Diplomasia iliyopo jijini Madrid, Uhispania

Tarehe 4 Septemba 2024, Mhe Balozi @AliMwadini alitembelea Shule ya Diplomasia iliyopo jijini Madrid, Uhispania, na kufanya mazungumzo na Naibu Mkurugenzi (kushoto) na Mkurugenzi Msaidizi (kulia) wa Shule…

Read More

Timu ya Tanzania Wasichana (U17) yaichapa Misri nchini Tunisia

Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Wasichana chini ya miaka 17 (U17), ipo mjini Tunis, Tunisia kushiriki Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchi za Afrika Kaskazini (UNAF). Katika michuano iliyoanza…

Read More