VACANCIES AT THE UNITED NATIONS EDUCATION, SCIENTIFIC AND CULTURAL ORGANISATION (UNESCO)
The Permanent Delegation of the United Republic of Tanzania to UNESCO would like to inform of the availability of various positions.
Read MoreThe Permanent Delegation of the United Republic of Tanzania to UNESCO would like to inform of the availability of various positions.
Read MoreBalozi Mwadin alipokutana na Mhe. David Doyle, Balozi wa Visiwa vya St. Kitts and Nevis (SKN) nchini Ufaransa na pia Mwakilishi wa Kudumu wa visiwa hivyo kwenye UNESCO.Kwa pamoja walizungumzia masuala…
Read MoreThe Permanent Delegation of the United Republic of Tanzania to UNESCO has received information from the Secretariat of the United Nations Educational, Scientific and Cultural Organisation (UNESCO) regarding…
Read MoreUbalozi wa Tanzania Paris kwa kushirkiana na Kamisheni ya Utalii ya Zanzibar (ZCT), wamefanikisha ushiriki wa makampuni 15 ya wadau wa utalii kutoka Bara na Zanzibar kwenye maonesho makubwa zaidi ya utalii…
Read MoreTimu ya Serengeti Girls (U-17) imetwaa kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchi za Afrika Kaskazini leo kufuatia kutoka sare ya 0-0 na wenyeji Tunisia. Timu hiyo iliyong’ara sana na kuwa gumzo mjini…
Read MoreTarehe 4 Septemba 2024, Mhe Balozi @AliMwadini alitembelea Shule ya Diplomasia iliyopo jijini Madrid, Uhispania, na kufanya mazungumzo na Naibu Mkurugenzi (kushoto) na Mkurugenzi Msaidizi (kulia) wa Shule…
Read MoreTimu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Wasichana chini ya miaka 17 (U17), ipo mjini Tunis, Tunisia kushiriki Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchi za Afrika Kaskazini (UNAF). Katika michuano iliyoanza…
Read MoreMheshimiwa Balozi Ali Mwadini amekabidhi nakala za Hati za Utambulisho kwa Bi. Maria SEBASTIAN DE LA PEÑA, Mkurugenzi Mkuu wa Itifaki kwenye Wizara ya Mambo ya Nje ya Uhispania.Aidha, kwa nyakati tofauti…
Read More