Mheshimwa Balozi Mwadini Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa amekutana na Wanafunzi wanaosoma katika Vyuo Vikuu vya Sayansi ya Siasa (Sciences Po - Reims) na Ecole Normale SupĂ©rieure (ENS). Pamoja na mambo mengine, Wanafunzi hao walijifunza masuala ya lugha ya Kiswahili Kimataifa, mahusiano ya kitamaduni kati ya Tanzania na Ufaransa na fursa zilizopo kwa wataalamu wa  Kiswahili