Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa washiriki Maadhimisho ya Wiki ya Afrika
24 May 2022
115
Uwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania kwenye shirika la UNESCO unashiriki kwenye maonesho yanayofanyika kama sehemu ya maadhimsho ya wiki ya Afrika yaliyoanza tarehe 23 Mei, 2022, Paris Ufaransa.