Timu ya Tanzania Wasichana (U17) yaichapa Misri nchini Tunisia
Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Wasichana chini ya miaka 17 (U17), ipo mjini Tunis, Tunisia kushiriki Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchi za Afrika Kaskazini (UNAF). Katika michuano iliyoanza…
Read More