News and Resources Change View → Listing

Cocoa ya Tanzania yaendelea kupata fursa kwenye soko la Ufaransa na Ulaya

Tarehe 31 Oktoba,2022, Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Samwel Shelukindo, alifanya mazungumzo na Bw. Simran Bindra, ambaye ni mmoja wa Wakurugenzi na Waanzilishi wa Kituo cha Kuchakata kokoa cha Kokoa…

Read More

Balozi Shelukindo ahutubia Mkutano wa 215 wa UNESCO

Mhe. Samwel W. Shelukindo, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye UNESCO, akiwasilisha hotuba ya nchi katika Mkutano wa 215 wa Bodi Tendaji ya Shirika hilo tarehe 11 Oktoba…

Read More

Balozi Shelukindo ashiriki Mkutano wa UNESCO nchini Mexico

Mhe. Samwel W. Shelukindo, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kwenye UNESCO, akishiriki katika mjadala kwa niaba ya Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb.), Waziri wa Utamaduni, Sanaa na…

Read More

Maonesho ya 44 ya Utalii ya IFTM Top Resa Paris,  yafanyika nchini Ufaransa

Tarehe 20 - 22 Septemba, 2022, Ubalozi ulishirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) pamoja na wadau wengine wa utalii nchini walishiriki kwenye maonesho ya 44  ya utalii ya IFTM Top Resa, mjini Paris,…

Read More

Ambassador Shelukindo receive a courtesy visit from Ambassador Designate of the Republic of Kenya to UNESCO

On 09th September 2022, H. E. Samwel W. Shelukindo, Ambassador and Permanent Delegate of the United Republic of Tanzania to UNESCO received a courtesy visit by H. E. Prof. Richard BOSIRE, Ambassador and…

Read More

Ubalozi Washiriki Tamasha la Kimataifa la Vyakula (VillageĀ  international de gastronomie) jijini Paris

Ubalozi Washiriki Tamasha la Kimataifa la Vyakula (Village international de gastronomie) linalofanyika mjini Paris tarehe 1 hadi 4 Septemba, 2022.Katika tamasha hilo, Ubalozi umewashirikisha pia…

Read More

Diaspora wa Tanzania nchini Ufaransa wakutana na Mkurugenzi wa Kitengo cha Diaspora

Tarehe 20 Agosti,2022, Mkurugenzi wa Kitengo cha Diaspora cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi James Bwana, aliongoza ujumbe wa Wizara kwenye kikao baina ya Kitengo hicho na…

Read More

Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa washiriki Maadhimisho ya Wiki ya Afrika

Uwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania kwenye shirika la UNESCO unashiriki kwenye maonesho yanayofanyika kama sehemu ya maadhimsho ya  wiki ya Afrika yaliyoanza tarehe 23 Mei, 2022, Paris…

Read More